Ufunuo wa Yohana 20 : 13 Revelation chapter 20 verse 13

Swahili English Translation

Ufunuo wa Yohana 20:13

Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
soma Mlango wa 20

Revelation 20:13

The sea gave up the dead who were in it. Death and Hades gave up the dead who were in them. They were judged, each one according to his works.